Wednesday, 3 December 2014

HUYU NDIYE SHABIKI NAMBAMOJA WA DIAMOND..ONA ALICHOKIFANYA


 



Ushabiki hauna mipaka kwenye mambo mengi ya burudani, michezo na hata siasa. Huyu anajiita shabiki namba moja wa msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz na kwa mapenzi ya ukweli jamaa amechora tattoo ya jina la msanii huyu kwenye kifua chake. Haijulikani kam ni tattoo ya muda mrefu au ya muda mfupi.

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment