Wednesday, 3 December 2014

PICHA ZOTE MSANII>>>>>>> SHILOLE ALIVYOKINUKISHA UBELGIJI






Shishi Baby akifanya mambo yake huku mashabiki wakiwa na midadi.
Msanii Shilole akiburudika vyema na dada yetu aliyekuja toka Norway kujumuika nasi katika kupata burudani ya Shishi Beibii.

Wachaa weeee.

Msanii Shilole akipata kumbukumbu ya picha

Shilole akiwa na Balozi wa Madagasca nchini Belgium

Mapicha picha ya ukumbusho ya Shilole.

Dada Rose akiwa na Shilole.

Shilole aliombwa saini na balozi wa Madagasca[Mnyamwezi umetishaaaaa] wakakutangazeeee.

New artist Max at work.

Dili ikienda sawa Shilole kula donge nono,,,lini,wapi na saa ngapi Mungu ndio mjuzi,,,kaa mkao wa kula.

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment