Wednesday, 3 December 2014

MAELFU WAFURIKA KUMZIKA PHILLIP HUGHES...!!!




Misa ya kumuombea mchezaji wa cricket wa Australia, Phillip Hughes ilifanyika siku ya jana katika nyumbani kwake jijini Macksville.


Waombolezaji wakiwa katika misa ya kuombea mwili wa marehemu, Phillip Hughes.

Kapteni wa timu ya taifa ya cricket ya wa Australia, Clarke akiongea jambo wakati wa misa hiyo.

Dada wa marehemu Megan akiongea jambo wakati wa misa.

Mwili wa marehemu ukiendelea kuombewa.

Wananchi wakifatilia misa kupitia Tv.

Mchezaji wa cricket wa Australia, Phillip Hughes enzi za uhai wake.

Safari ya kuelekea katika mazishi ikianza katika mtaa wa Macksville.

Wakisindikiza mwili wa marehemu, Phillip Hughes kwa kutembea kwa pamoja.

Wananchi wakiwa pembezoni mwa barabari kuaga mwili wa marehemu.

...Mwili wa marehemu ukiwa ndani ya gari Macksville High School.

Mwili wa marehemu ukiwasili

Wananchi wakiendelea kuweka maua ndani ya uwanja wa cricket.

Wananchi wakiwa katika uwanja wa Cricket wa Sydney tiyari kwa kuaga mwili wa marehemu.

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment