Picha inajieleza yenyewe, hapo Dada huyo akisaidiwa na Msamaria mwema aliyemuokota kwenye mtaro baada ya mwanadada huyo kupiga Chupa za Kutosha na Kisha kuzidiwa na Pombe , Jamaa hawakucheza mbali wakajilia vyao na kutimuka wakimwacha dada mtaroni bila msaada wowote.
Ladies Jamani Pombe si.
ANKO SAM BLOG
Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook
0 comments:
Post a Comment