Saturday, 25 October 2014

NI ZAIDI YA LAANA NGONO MWANZO MWISHO!!!!!!!!!!!!!! HAYA NDIYO MAMBO YANAYOFANYIKA KWENYE FUKWE ZA BAHARI (BEACH)




Kumezuka tabia ya watu kufanya mambo yaliyo kinyume na maadili katika fukwe za bahari (Beach),vitendo hivyo ni utumiaji wa madawa ya kulevya, ufutaji wa bangi, ulevi wa kupindukia mbaya zaidi ongezeko la vitendo vya NGONO (kurana URODA) tena mchana kweupe bila uwoga wowote


                 credit TUANGAZE BONGO

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment