![](http://3.bp.blogspot.com/-yF85gNy1IKo/UseN7p_joPI/AAAAAAAAAjg/SBQY9w6JQH4/s1600/72690_475708462484319_679264561_n.jpg)
Kumezuka tabia ya watu kufanya mambo yaliyo kinyume na maadili katika fukwe za bahari (Beach),vitendo hivyo ni utumiaji wa madawa ya kulevya, ufutaji wa bangi, ulevi wa kupindukia mbaya zaidi ongezeko la vitendo vya NGONO (kurana URODA) tena mchana kweupe bila uwoga wowote
![](http://3.bp.blogspot.com/-71hg7Hw7LaU/UsePQd-7a-I/AAAAAAAAAjs/Qga1zY0EvAs/s1600/304395_421088241279675_1858599707_n.jpg)
credit TUANGAZE BONGO
Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook
0 comments:
Post a Comment