Thursday, 20 November 2014

0 BASI UNAAMBIWA HAWA NDIYO WANAWAKE WAWILI MATAJIRI KUTOKA AFRIKA KATI YA MATAJIRI 50 DUNIANI






 


Isabela dos Santos
Unajua kwamba kwenye listi ya matajiri 50 Afrika kuna wanawake wawili wanaoingia kwenye listi ya matajiri hao?
Jarida la Forbes lilitoa listi ya matajiri hao ambapo Aliko Dangote mfanyabiashara kutoka Nigeria anaongoza kwenye listi hiyo.
Wanawake hao wawili ni Isabel dos Santos ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amewekeza kwenye miradi mbalimbali ikiwemo kampuni za mitandao ya simu za mkononi ni mwanamke tajiri zaidi ambaye ameingia kwenye listi hiyo, pamoja na Folorunsho Alakija ambaye ni mfanyabiashara na mwanamitindo wa Nigeria.

Folorunsho Alakija

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment