Saturday, 4 October 2014

Mwanaume anaweza kulala kitanda kimoja na rafiki yake wa kike bila kufanya chochote?

Siku moja nilimuhadithia rafiki yangu kuwa nimelala kitanda kimoja na mwanamke akiwa amevaa chupi na sidilia, na mimi nilikuwa na boksa tu. Niliweza kuvumia na kuingia usingizini tena tukiwa tumekumbatiana na hakijatokea kitu chochote.

Je imeshawahi kukutokea na wewe? Una mchango gani kuhusu hoja iyo?

            ANKO SAM BLOG

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment