Saturday, 25 October 2014

heki matukio yote kwenye picha ya SIKU YA MSANII MLIMANI CITY WAFANA SANA USIKU HUU




Mgeni rasmi katika Siku ya Msanii Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongea jambo katika siku ya Msanii Mlimani city.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongea jambo.

Wafanyakazi wa Global Publishers, Mhariri wa gazeti la Risasi Jumamosi, Eric Evarist (kushoto) akiwa na Andrew Carlos (katikati).

Kikundi cha ngoma za kinyeji kikitoa burudanu usiku huu Siku ya Msanii Mlimani City.

(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL)

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment