Kwa mjibu wa kamusi ya uingereza maarufu kama Oxford dictionary,neno kujifunza ni mapokeo ya ujuzi au elimu baada ya uzoefu ama mafunzo fulani.Hivyo ni bayana ya mambo tuonayo na kusikia mashuleni hadi majumbani mwetu.Na hizi ni kanuni tano(5) za kujifunza
1.Utayari
2.Mazoezi(exercise)
3.Hisia za kutafakari
4.Kukazia maarifa katika uhalisia
5.Marudio
1.Utayari
2.Mazoezi(exercise)
3.Hisia za kutafakari
4.Kukazia maarifa katika uhalisia
5.Marudio
Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook
0 comments:
Post a Comment