Wednesday, 23 July 2014

KANUNI TANO(5) ZA KUJIFUNZA

Kwa mjibu wa kamusi ya uingereza maarufu kama Oxford dictionary,neno kujifunza ni mapokeo ya ujuzi au elimu baada ya uzoefu ama mafunzo  fulani.Hivyo ni bayana ya mambo tuonayo na kusikia mashuleni hadi majumbani mwetu.Na hizi ni kanuni tano(5) za kujifunza
1.Utayari

2.Mazoezi(exercise)

3.Hisia za kutafakari

4.Kukazia maarifa katika uhalisia
  
5.Marudio  

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment