Mwanadada
asiyechuja kwenye muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’
mwishoni mwa wiki iliyopita alibambwa ‘laivu’ kwa mara ya kwanza katika
kipindi kirefu akiwa ‘very close’ na mwanamuziki mwenzake, Ambwene
Yessaya ‘AY’ wakiteta jambo.Wabongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’
na Ambwene Yessaya ‘AY’ wakiteta jambo.
ANKO SAM BLOG
Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook
0 comments:
Post a Comment