Tuesday, 28 October 2014

AJALI MBAYA YATOKEA YOMBO VITUKA MWISHO WA LAMI




Gari aina ya Hiace ambayo ni daladala yenye namba za usajili T769 AFP imedondokewa na Kontena ambalo lilikuwa limebebwa kwenye lori huko Yombo Vituka Mwisho wa Lami, Ajali hii imetokea muda mfupi tu uliopita na kupelekea hofu ya kupoteza abiria wote waliokuwamo katika Daladala hiyo


Ripota wetu anaendelea kutafuta habari kutoka eneo hilo la tukio.Picha na Mdau wa Lukaza Blog Samora Julius

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment