Monday, 11 August 2014

Kama ukuona kilichotokea ebu tazama hapa.......Picha za Kili Music Tour ilivyofunika Mbeya


Mashabiki wakiingia katika uwanja wa New City Pub kushuhudia Kili Music Tour.
Zembwela na Dulla wa EATV katika amsha amsha kabla ya show kuanza.
Mkali kutoka Mbeya Izzo Bizness ndani ya backstage.
Chibwa anaefanya miondoko ya Ragga ndie aliifuungua show ya Kili Music Tour Mbeya.
Shilole akionyesha uwezo wake wa kulishambulia jukwaa ikiwa ni pamoja na kumpandisha jukwaani mmoja wa mashabiki.
Backstage: AY na DJ wake Arthur
Rich Mavoko na madansa wake stejini
Mashabiki wakifurahia wasanii wanavyolishambulia jukwaa.
Massawe na Kimario kama wanavyopenda kuitwa waliendeleza utamaduni wao wa kufanya show kwa pamoja katika Kili Music Tour.
Wadau wakifuatilia kinachojiri jukwaani toka pembeni ya jukwaa la Kili Music Tour.
Mtoto wa nyumbani Izzo Bizness akiiwakilisha Mbeya katika Kili Music Tour
Shangwe la kutosha kwa mtoto wa nyumbani
Profesa Jay akimbulisha Mbunge wa Mbeya Mjini Mheshimiwa Joseph Mbilinyi, Sugu.
Mtangazaji wa Planet Bongo, Dullah hakuwa nyuma katika kuchukua matukio yanayoendelea jukwaani.
DJ Mafuvu katika mashine akihakikisha wasanii na mashabiki wanakwenda sawa.
Zamu ya Weusi na Viburi kuifunga show ya Kili Music Tour, Mbeya
Mashabiki wakionyesha love ya kutosha kwa Weusi.
 
 
 
 ANKO SAM BLOG.

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment