Thursday, 28 August 2014

HABARI MPASUKOOO!!!!!!! CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA 2014/15





Mchezaji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amechaguliwa leo kuwa mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Ulaya (UEFA), KWA MWAKA 2014/15, wakati wa kupanga makundi ya timu zitakazoshiriki mashindano ya UEFA. Amekabidhiwa tuzo ya mchezaji bora.

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment