Thursday, 12 June 2014

KILL MUSIC TOUR YAANZA VIZURI,DODOM KWAWAKA MOTO.



 Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Linex, akishambulia jukwaa wakati wa Tamasha la Kilimanjaro Tanzania Music Tour, 'Kwetu ni Kwetu', lililomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Kwa habari kamili na mapicha kibao ya shoo hii utapata kupitia ukurasa wa mtandao huu baadaye. 'Stay Tune'.
 Ommy Dimpoz, akishambulia jukwaa...
 Ben Paul, akifunika baada ya kuimba baadhi ya bibao vyake jukwaani.
 Msanii wa Hip Hop, Kala Jeremier, akiwarusha mashabiki wake kwa mistari....
 Msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, akiwarusha mashabiki wake kwa mistari....

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment