KUNA BAADHI YA WATU WANAYATENDEA HAKI MAPENZI; WAPO MAKINI KWA KILA KITU KATIKA UHUSIANO WAO NA HIVYO KUWA KAMA WANAISHI KWENYE PARADISO YA PEKEE.
PIA, WAPO WENGINE AMBAO WANAYAONA MAPENZI MACHUNGU, WANAYACHUKIA NA KWA HAKIKA WANALAANI KUKUTANA NA WENZI WALIONAO.
Kwa nini? Kwa sababu kila siku ni ugomvi, hawana amani. Hawapati muda wa kukaa na kupanga mambo yao, kila wakikutana ni ugomvi.
Kunyang’anyana simu na kupekua meseji ndiyo sehemu ya uhusiano wao.
Utakapoona wapenzi hawaishi ugomvi, ujue kwamba wanaishi kwa mashaka. Kila mmoja haamini kama mwenzake siyo kicheche.
Pamoja na ugomvi wao, wengi wanashindwa kuwatambua wenzi ambao wamewasaliti muda mfupi uliopita.
Katika
mada yetu ya leo, tutaangalia mambo 10 ya msingi ambayo yanaweza
kukusaidia kumtambua mpenzi aliyekusaliti muda mfupi uliopita.
ANKO SAM BLOG
Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook
0 comments:
Post a Comment