Tuesday, 21 October 2014

Marehemu YP kuzikwa kesho Jumatano 22th katika makaburi ya CHAN’GOMBE....DAR





Marehemu Yesaya Ambilikile (YP) ambaye aliaga dunia usiku wa kuamkia leo kwa kusumbuliwa na maradhi ya kifua, YP ameaga dunia akiwa analiwakilisha kundi la TMK Wanaume Family na anatarajiwa kuagwa kesho pale TCC Chang’ombe na baadae kwenda kupumzishwa katika makaburi ya Chang’ombe karibu na maduka mawili majira ya saa kumi za jioni.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI

AMIN
                     ANKO SAM BLOG

Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook

0 comments:

Post a Comment