KAMERA ya GPL imenasa umati wa watu wakiwa wamemzunguka mwendesha pikipiki, maeneo ya kona ya kuingia stendi mpya ya Simu 2000, maeneo ya Ubungo jijini Dar es Salaam, ambaye alipata ajali na kuumia sehemu kadhaa za mwili wake.
(Habari/Picha:Gabriel Ng’osha/GPL)
Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook
0 comments:
Post a Comment