Mshambuliaji
wa timu ya Taifa ya Brazil, Neymar, akisikitika baada ya kumalizika
dakika 90 za mchezo kati yao na Mexico huku timu hizo zikitoka uwanjani
bila kufungana pamoja na kila timu kuonyesha kiwango na uwezo na
kushambuliana kwa zamu na kila timu ikikosa kosa mabao kadhaa. Hadi
mwisho wa mchezo huo Brazil 0-Mexico 0. kwa matokeo hayo sasa katika
kundi lao la A timu hizo zimefungana kwa Pointi sawa huku Brazil
ikiongoza kwa idadi ya mabao na sasa Brazil anatarajia kukutana na
Cameroon.
Kipa wa Mexico, Uchoa, akiruka kuhakiki moja kati ya mpira wa hatari uliopigwa langoni kwake.
Neymar, akimfinya beki wa Mexico....
Hapa ilikuwa ni patashika, nguo kuchanika, mpira uende mtu abaki....
Nani
kuibuka mbabe leo baada ya timu zote hizi mbili kuibuka na ushindi
mnono katika mechi zai za ufunguzi??? mwamuzi ni dakika 90.
Like Page Yetu Hapa Kuungana Nasi Facebook
0 comments:
Post a Comment